.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 30 Januari 2015

AFCON 2015, MICHEZO YA HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KESHO

Hatua ya robo fainali ya kuwania kombe la mataifa ya Afrika zinaanza kutimua vumbi kesho huko nchini Equatorial Guinea zinakofanyika fainali hizo. 

Kesho timu za kwanza kushuka dimbani itakuwa kati ya Congo ambayo itamenyana na wenzao wa Congo DRC. 

Baada ya kumalizika kwa mchezo huo, utafuatia mchezo katika ya Tunisia ambao watacheza na wenyeji wa fainali hizo Equatorial Guinea, mchezo ambao unatarajiwa kuwa na upinzani mkali. 

Siku ya jumapili kutakuwa na mechi nyingine za hatua hiyo ya robo fainali, ambapo Ghana watacheza na Guinea kisha kufauatiwa na mchezo kati ya Ivory Coast watakaomenyana na Algeria


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni