Jeshi la Chad, limewaondoa
wapiganaji wa Boko Haram katika mji wa Malumfatori kaskazini mwa
Nigeria.
Taarifa za kutwaliwa kwa mji huo,
ambao upo katika mpaka wa Chad na Niger, zinafuatia siku mbili za
mapigano.
Vikosi vyote vya Chad vya angani na
aridhini vimeripotiwa kutumika kushambulia wapiganaji wa Boko Haram
katika mapigano hayo.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni