.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 17 Januari 2015

BOKO HARAM TISHIO LA USALAMA WA RAIA NA MALI ZAO NCHINI NIGERIA

Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa ni mfuasi wa kundi la Boko Haram, amejilipua kwa bomu katika soko lililopo jimbo la Gombe nchini Nigeria. 

Katika tukio hilo, jumla ya watu sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa. 

Pamoja na kwamba mpaka sasa hakuna mtu au kikundi kilichosema kinahusika na tukio hilo, lakini kundi la Boko Haram linahusishwa kwa tukio hilo.

Tayari maelfu ya watu wamefariki dunia aidha kwa kupigwa risasi kwa mabomu tangu kundi hilo lianze kufanya uasi wake nchini Nigeria kwa miaka mitano.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni