.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 19 Januari 2015

CONOR MCGREGOR AMDUNDA DENNIS SIVER HUKO BOSTON MAREKANI

Conor McGregor amemdunda Dennis Siver katika raundi ya pili huko Boston katika mchezo mapigano wa UFC.

McGregor sasa anatarajiwa kukutana na mfalme anayetawala kwa sasa mchezo huwa wa mapigano kwa kutumia ngumi, mateke na vifuti katika pambano la Mei huko Las Vegas.
                                                  Conor McGregor akimpiga kifuti Dennis Siver

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni