.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 29 Januari 2015

CUBA YAITAKA MAREKANI KUACHIA KWANZA KAMBI YA GUANTANAMO BAY

Nchi ya Cuba imeitaka Marekani kurejesha kambi ya kijeshi ya Guantanamo Bay, kabla ya uhusiano wao na nchi hiyo haujarejea katika hali ya kawaida.

Katika hotuba yake, rais Raul Castro pia ametaka kuondolewa kwa vikwazo vya Marekani na Cuba kuondolewa kwenye orodha ya ugaidi.

Mwezi uliopita nchi hizo mbili zilitangaza kufufua uhusiano wao, na kuanzisha ushirikiano wa kidiplomasia.
                                Gereza la Guantanamo Bay linalomilikiwa na Marekani

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni