.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 22 Januari 2015

FAINALI ZA MATAIFA AFRIKA, GABON YATANDIKWA NA CONGO

Timu ya taifa ya Congo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gabon katika mchezo wa kundi A wa kuwania kombe la Mataifa ya Afrika, fainali ambazo zinafanyika Equatorial Guinea.
Katika mchezo huo uliochezwa jana usiku, Congo walijipatia bao katika dakika ya 48 ya mchezo mfungaji akiwa ni Prince Oniangue na kufanikiwa kuongoza kundi hilo wakiwa na pointi 4 mkononi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni