Tovuti ya shirika hilo imeandika
majibu hayo ya mualiko wa serikali ya Urusi, hata hivyo haikutaja
jina la rais Kim Jong-un.
Rais Kim Jong-un hajawahi kutoka nje
ya nchi yake tangu atwae madaraka ya kuliongoza taifa la Korea
Kaskazini mwishoni mwa mwaka 2011, baada ya kufariki baba yake Kim
Jong-il.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni