Mfalme wa Saudi Arabia Abdullah bin
Abdulaziz amefariki dunia ikiwa wiki kadhaa kupita tangu alazwe
hospitali.
Mfalme Abdullah ambaye inasemekana
anaumri wa mika 90, alikuwa akisumbuliwa na maambukizi kwenye mapafu.
Taarifa iliyotolewa na maafisa wa
Mfalme mapema leo, imesema ndugu yake mwenye umri wa miaka 79 aitwae
Salman ndie atakuwa mfalme mpya wa Saudi Arabia.
Mfalme Abdullah bin
Abdulaziz akiwa na rais Barack Obama


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni