Uchaguzi huo ni wa kwanza kwa taifa
la Nigeria, ambao unahitaji mpiga kura kuwa na kadi ya
biometric.
Nigeria inayokabiliwa na ghasia
zinazotokana na machafuko yanayofanywa na kundi la Boko Haram,
inatarajia kufanya uchaguzi wake Februari 14.
Mkuu huyo wa Usalama Sambo Dasuki,
pia amesema nchi jirani ya Chad, itatuma kikosi chake kusaidia
kupambana na wapiganaji wa Boko Haram ambao wanashikilia miji mingi
na vijiji.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni