.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 23 Januari 2015

ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA THAILAND AKABILIWA NA MASHTAKA

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Thailand Bi. Yingluck Shinawatra, atakabiliwa na makosa ya uhalifu kutokana na utata uliogubika kutolewa kwa ruzuku kwa mradi wa zao la mchele.

Taarifa hizo zimetolewa wakati wabunge wakijiandaa kupiga kura ya kumshtaki Bi. Yingluck kwa kushindwa kutimiza wajibu wake kuhusiana na mradi huo.

Wakosoaji wa mambo wanasema sera ya mchele iliigharimu serikali mabilioni na ilitumika kuchota fedha kwa ajili ya chama cha Bi.Yingluck.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni