.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Januari 2015

MWANAMKE MWENYE WIVU NCHINI CHINA AUKATA UUME WA MUMEWE MARA MBILI

Mwanamke mmoja nchini China amekata uume wa mumewe, kutokana na kuwa na mahusino na mwanamke mwingine, na kurudia tena kumkata baada ya madaktari kuunganisha.

Mwanaume huyo Fan, alishonwa uume katika hospitali moja mkoani Henan, lakini mkewe alimfuata hospitali aliyolazwa na kuukata tena uume wake.

Madaktari waliutafuta uume wa Fan, lakini walishindwa kuupata baada ya kukatwa tena na mkewe huyo anayeshikiliwa kwa kitendo hicho. Fan alifanyiwa upasuaji tena katika hospitali nyingine alihamishiwa kwa matibabu.



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni