.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Januari 2015

FBI WAMKAMATA MTU MMOJA ALIYEPANGA KUFANYA SHAMBULIO JIJINI WASHINGTON

Shirika la Ujasusi la Marekani la FBI, linamshikilia mtu mmoja kutoka Ohio kwa tuhuma za kupanga shambulio katika Jiji la Washington, katika namna ya ushawishi wa mashambulio ya Dola ya Kiislam.

Mtu huyo Christopher Cornell, mwenye umri wa miaka 20, anakabiliwa na shtaka ya kujaribu kumuua afisa wa serikali kwa mujibu wa nyaraka za mahakama.

FBI walimbaini mtuhumiwa huyo baada ya ku twitti mandishi yanayounga mkono kundi la Dola ya Kiislam.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni