.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Januari 2015

WAENDESHA BODABODA WAWAUWA MAJAMBAZI WANNE LEO ASUBUHI JIJINI NAIROBI

Watu wanne wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameuwawa leo asubuhi kwa kuchomwa moto na wananchi wenye hasira eneo la Githurai 44, Jijini Nairobi.

Watu hao ambao wote ni wanaume wanadaiwa kumshambulia na kumpora pikipiki mwendesha bodaboda baada ya kumchoma kisu na kufa.

Baada ya tukio hilo waendesha bodaboda waliwasiliana na kuanza kuwatafuta wahalifu hao na walipowapata waliwashambulia na kisha kuwachoma moto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni