.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 15 Januari 2015

BASI LILILOBEBA WAFUNGWA LAANGUKA NA KUUA WATU WAPATAO KUMI MJINI TEXAS

Watu wapatao 10 wamekufa baada ya basi lililokuwa limewabeba wafungwa kumshinda dereva na kugongana na treni Texas nchini Marekani.

Mkuu wa Kituo cha Polisi Mark Donaldson amesema basi lilitereza na kuacha barabara kisha kugongana na treni.

Maafisa wa Texas wamesema basi hilo lilikuwa limebeba wafungwa 12, pamoja na maafisa watatu wa magereza waliokuwa wakitokea gereza la Abilene kwenda gereza la El Paso.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni