Chama cha Taifa cha Walimu Kenya
(KNUT) na Chama cha Walimu wa Sekondari na Vyuo vya Ufundi (Kuppet)
vimekubali kusitisha mgomo ili walimu warejee madarasani jumatatu ya
wiki ijayo.
Makubaliano yamefikiwa mbele ya Jaji
wa Mahakama ya Kazi, Nduma Nderi baada ya majadiliano yaliyofanyika
mahakamani, yaliyohusisha vyama hivyo viwili na taasisi za serikali
ya Kenya.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni