.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 20 Januari 2015

NGUVU ZATUMIKA KUMALIZA MGOMO WA WAHAMIAJI KUTOKULA KATIKA ENEO WANALOSHIKILIWA

Kiongozi wa Australia Tonny Abbot amesema mgomo wa kutokula wa wahamiaji katika eneo wanaloshikilia umemalizwa.

Kauli yake imekuja baada ya walinzi katika kambi ya kisiwa cha Manus Papua New Guinea, kuingia kwa nguvu katika eneo ambalo wahamiaji hao walikuwa wanashikiliwa ambalo waliamua kujizungushia uzio.

Baadhi ya wahamiaji hao imeripotiwa kuwa wamekamatwa katika operesheni hiyo, ambayo imekuja baada mgomo huo uliodumu kwa wiki moja. Hata hivyo wanaharakati wamedai baadhi ya wahamiaji bado wanaendelea na mgomo wa kutokula.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni