Watu hao wanaume wamepigwa picha
wakichapwa bakora migongoni na miguuni katika eneo la wazi ili umma
uone namna IS inavyotekeleza kwa vitendo sheria kali za kuzuia vifaa
vya muziki vya kimagharibi.
Katika picha nyingine inaonekana piano
pamoja na kifaa kingine cha muziki vikiwa vimeahribiwa kwa kupondwa
pondwa katika eneo la Bujaq maili chache mashariki mwa Aleppo in
Syria.
Mmoja wa wanamuziki hao akipigwa bakora za chini ya makalio
Vifaa vya muziki walivyokutwa navyo kabla ya kuharibiwa
Kwisha kazi kila kitu kimeteketezwa




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni