.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 16 Januari 2015

PAPA FRANCIS ATOA WITO KWA VIONGOZI WA MATAIFA KUKABILIANA NA RUSHWA

Papa Francis ametoa wito kwa viongozi wa mataifa kukabiliana na rushwa na kumaliza tatizo la kutokuwepo kwa usawa katika jamii, katika siku yake ya kwanza ya ziara yake nchini Ufilipino.

Papa ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza wakati wa sherehe ya kumkaribisha nchini humo, katika Ikulu ya Ufilipino na rais Benigno Aquino.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Duniani jana alipokelewa na umati mkubwa wa waumini wa kanisa hilo ambao ndio wengi zaidi nchini Ufilipino.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni