Papa Francis amewasili nchini Sri
Lanka kuanza ziara yake ya siku sita ya Asia ambayo inatarajiwa
kukusanya umati mkubwa wa watu.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki
Duniani baadae atasafiri kuelekea Philippines, kukiwa na mipango ya
kuendesha ibada katika eneo la wazi.
Hii ni ziara ya kwanza kwa papa
kutembelea Sri Lanka tangu kumalizika kwa miongo minne ya vita vya
wenyewe kwa wenyewe mwaka 2009.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni