.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Januari 2015

RAIS BARACK OBAMA AHUDHURIA GWARIDE LA SIKU YA UHURU WA INDIA

Rais Barck Obama wa Marekani, amehudhuria gwaride la siku ya Uhuru wa India, Jijini Delhi, na kuwa rais wa kwanza wa Marekani kufanya hivyo.

Rais Obama leo alikuwa ni mgeni rasmi katika gwaride la mwaka la jeshi, ambapo aliwasili jana nchini humo kwa ziara ya siku tatu ya kuimarisha ushirikiano baina ya nchi hizo mbili.

Baada ya mazungumzo ya siku ya jumapili, pande zote mbili zilitangaza kufikia makubaliano yatakayoruhusu kampuni za Marekani kuiuzia India teknolojia ya nyuklia kwa matumizi ya kiraia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni