.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 26 Januari 2015

WATOTO WAWILI WA WAKIUME WA RAIS HORNI MUBARAK WAACHIWA HURU

Watoto wawili wakiume wa aliyekuwa rais wa Misri, Hosni Mubarak wameachiwa kutoka jela siku moja baada kufanyika kumbukumbu za vuguvugu ya nguvu ya umma iliyomg'oa madarakani rais huyo.

Watoto hao Alaa na Gamal Mubarak walitoka katika gereza la Torah leo Jijini Cairo na kuelekea nyumbani kwao katika kitongoji cha Heliopolis.

Wiki iliyopita Mahakama iliagiza watoto hao wa Mubarak, kuachiwa huru wakingojea shauri la tuhuma za rushwa pamoja na baba yao.


Mahakama ilitoa uamuzi watoto hao wameshakaa kizuizini katika muda mrefu kabla ya kusikilizwa kwa kesi hiyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni