.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 21 Januari 2015

RAIS BARACK OBAMA ATANGAZA MKAKATI WA UCHUMI WA KUWANUFASHA WAMAREKANI

Rais Barck Obama ametangaza kuisha kwa mgogoro wa uchumi, na kuahidi sera za kiuchumi zitakazowanufaisha Wamarekani wote.

Akitoa hotuba yake ya mwaka kwa taifa kupitia baraza la Congress, ambayo ililenga wafanyakazi rais Obama alielezea mikakati yake ya kuliinua kundi la uchumi wa kati.

Hata hivyo mikakati ya rais Obama itakabiliwa na vikwazo na huenda isipitishwe kwenye baraza la Congress linaloongozwa na wingi wa wajumbe kutoka chama cha Republican.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni