Bw.
Kiir anasumbuliwa na tatizo la kutokwa damu puani, maafisa wake
wamesema, hata hivyo suala la hali yake inavyoendelea halikuelezwa.
Kulazwa
kwake hospitali kumechelewesha mkutano wa viongozi wa kikanda
unaojadili machafuko ya Sudan Kusini.
Rais
Kiir mwenye umri wa miaka 63, ameliongoza taifa hilo tangu kupata
uhuru wake kutoka kwa Sudan mnamo mwaka 2011.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni