.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Januari 2015

SANOGO ATUA CRYSTAL PALACE KWA MKOPO AKITOKEA ARSENAL

Mshambuliaji wa washika bunduki wa London, timu ya soka ya Arsenal inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza, Yaya Sanogo amejiunga na timu ya soka ya Crystal Palace kwa mkopo kwa kipindi chote kilichosalia cha msimu huu wa Barclays Premier League. 

Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ana imani mchezaji huyo ataimarisha kiwango chake cha uchezaji akiwa na Crystal Palace huku pia akiwa na imani kocha mkuu wa timu hiyo Allan Pardew atamsaidia kuinua kiwango chake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni