Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, wakati wa sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kwenye uwanja wa Aman, leo Jumatatu Januari 12, 2015 Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad Rais Jakaya Kikwete akisaliamiana na Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa. Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Fatma Karume, mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akiingia uwanjani. Rais wa Zanzibar na Mwenyeikiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akikagua vikosi vya ulinzi na usalama Wananchi walifurika kwa wingi uwanja wa Amaan kufuatilia sherehe za Mapinduzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akiwahutubia wananchi.
Jumanne, 13 Januari 2015
SHEREHE ZA MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR ZAFANA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, akisalimiana na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, wakati wa sherehe za miaka 51 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar kwenye uwanja wa Aman, leo Jumatatu Januari 12, 2015 Rais Jakaya Kikwete akiwa na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Alhaj Ali Hassan Mwinyi. Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar, Maalim Seif Shariff Hamad Rais Jakaya Kikwete akisaliamiana na Rais Mstaafu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa. Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama Fatma Karume, mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Aman Karume. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akiingia uwanjani. Rais wa Zanzibar na Mwenyeikiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akikagua vikosi vya ulinzi na usalama Wananchi walifurika kwa wingi uwanja wa Amaan kufuatilia sherehe za Mapinduzi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Shein akiwahutubia wananchi.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)



.jpg)


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni