.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 25 Januari 2015

ULINZI MKALI WAWEKWA WAKATI RAIS OBAMA AKIWA ZIARANI NCHINI INDIA

Rais Barack Obama wa Marekani amewasili nchini India kwa ziara ya siku tatu ambapo atalindwa na ulinzi mkali ambao haujawahi kutokea.

Maelfu ya maafisa usalama wamewekwa Jijini Delhi, pamoja na kufungwa kamera za ulinzi 15,000, vizuwizi vya barabarani, pamoja na viroba vya kinga vilivyojazwa michanga.

Rais Obama atakuwa ni mgeni rasmi hapo kesho katika maadhimisho ya Sherehe za Jamhuri ya India.

Baadae leo atafanya mazungumzo na Waziri Mkuu Narendra Modi pamoja na kukutana na viongozi wa wafanyabiashara.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni