.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Januari 2015

WANAOUPINGA UISLAM NA WANAOUUNGA MKONO UISLAM WAANDAMANA UJERUMANI

Watu 25,000 wameweka rekodi kuungana na maandamano ya kuupinga uislam Dresden nchini Ujerumani, yaliyoitishwa baada ya kutokea mashambulio ya ugaidi Jijini Paris nchini Ufaransa.

Waandamanaji wamekaidi wito wa serikali ya Ujerumani, wa kuwataka kuachana taasisi ya Pegida inayoendesha kampeni ya kupinga uislam.

Kwingineko Ujerumani makumi ya maelfu ya watu wamejiunga na maandamano ya kuipinga msimamo wa taasisi ya Pegida.

Kiongozi wa Ujerumani Kansela Angela Merkel amesema atashiriki maandamano yaliyoandaliwa na Waislam katika Jiji la Berlin yenye lengo la kuhimisa umuhimu wa kuvumiliana kiimani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni