.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 19 Januari 2015

WITO WATOLEWA UMOJA WA ULAYA NA MATAIFA YA KIISLAM KUSHIRIKIANA KUKABILIANA NA UGAIDI

Mkuu wa sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa wito wa kuwepo kwa muungano mkubwa wa kukabiliana na ugaidi utakaohusisha mataifa ya Kiislam.

Akiongea katika mkutano wa mawaziri wa Umoja wa Ulaya Mkuu huyo Federica Mogherini amesema kunahaja ya ushirikiano zaidi na mataifa ya Kiislam pamoja na ndani ya Umoja wa Ulaya.

Mkutano huo umeitishwa kufuatia tukio la kuuwawa watu 17 Jijini Paris pamoja na operesheni ya kukabiliana na ugaidi nchini Ubelgiji.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni