.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Machi 2015

ANGELINA JOLIE AFANYIWA UPASUAJI NA KUONDOLEWA SHINGO YA UZAZI

Muigizaji filamu nyota nchini Marekani Angelina Jolie amefanyiwa upasuaji wa kuondolewa shingo ya uzazi pamoja na mirija ya uzazi, ili kumuepusha na saratani.

Katika maandiko aliyoyatoa kwenye jarida la New York Times, Jolie amesema wiki iliyopita alifanya vipimo na kubaini anaasilimia 50 ya uwezekano wa kupata saratani ya shingo ya uzazi.

Miaka miwili iliyopita Jolie, ambaye mama yake alifariki dunia kwa ugonjwa wa saratani, alifanyiwa upasuaji mara mbili wa kuondoa sehemu ya nyama ya matiti kumuepusha na saratani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni