.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Machi 2015

YEMENI YAKARIBISHA MATAIFA YA HUBA YA KIARABU KUDHIBITI WAASI WA HOUTHI

Waziri Mkuu wa Yemeni, ametoa wito kwa mataifa ya huba ya Kiarabu, kuingilia kati kuzuia waasi wa Shia Houthi kufika kusini mwa nchi hiyo.

Waasi wa Houthis wamemng'oa rais Abdrabbuh Mansour Hadi mwezi uliopita, ambaye amekimbilia eneo la kusini mwa mji wa bandari wa Aden ambao umetambulishwa kama ngome ya kuwadhibiti waasi.

Mwishoni mwa wiki waasi wa Houthis waliutwaa mji wa Taiz, ambao ni watatu kwa ukubwa nchini Yemen, na kuwafanya wakaribie mji wa Aden. Umoja wa Mataifa Yemen inaelekea kutumbukia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni