.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Machi 2015

BIHARUSI MTARAJIWA AGOMA KUOLEWA NA BWANA ASIYEJUA HESABU

Biharusi mtarajiwa mmoja amegoma kuolewa na bwana ambaye hajui hesabu
katika jimbo la Uttar Pradesh nchini India.

Biharusi hiyo aligoma kuolewa muda mchache kabla ya kufunga ndoa baada
ya kumuuliza bwana harusi mtarajiwa 15 + 6 ni ngapi na bwana akajibu
17.

Baada ya kupatiwa jibu hilo, bi harusi aliiambia familia yake kuwa hawezi kuolewa na mume asiye na elimu na hata wazazi wake walipo mbembeleza aligoma kabisa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni