.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Machi 2015

WAZIRI HAROUN ATEMBELEA OFISI ZA NYARAKA ZA MAKUMBUSHO KILIMANI ZANZIBAR

MKURUGENZI wa Idara ya Nyaraka na Makunbusho Hamad Omar (kulia)akimfahamisha jambo Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh. Haroun Ali Suleiman wakati alipotembelea katika ofisi za Nyaraka.
Waziri Haroun alipotembelea ofisi za Nyaraka na Makumbusho na kuangalia picha na mambo mbalimbali yanayohifadhiwa humo.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi na Utumishi wa Umma Mh. Haroun Ali Suleiman,akiangalia Mas-hafu Kongwe iliyoandikwa kwa mkono,msahafu huo wa Kihistoria ambao upo katika ofisi za Nyaraka imeandikwa katika Kijiji cha Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja kwa lugha ya Kiarabu,kulia mfanyakazi wa ofisi hiyo Moza Zahra(Picha na Abdall Masangu ). Kwa hisani ya ZanziNews

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni