.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Machi 2015

MBUNGE KENYA AHOJIWA KWA TUHUMA ZA KUMBAKA MKE WA MTU

Mbunge wa Kenya Gideon Mwiti, anayekabiliwa na tuhuma za kumbaka mke wa mtu amehojiwa na polisi kwa muda wa saa sita na kisha kuchukuliwa na gari na kupelekwa mahala pasipojulikana.

Daktari wa mbunge huyo Mwangi Muchiri, ambaye anadaiwa kumfanyia kwa nguvu vipimo vya Ukimwi mwanamke huyo naye pia ameitwa kutoa maelezo yake mbele ya Bodi ya Madaktari Kenya.

Mbunge Gideon Mwiti, wa jimbo la Imenti ya Kati, aliitwa na kuhojiwa katika kituo cha polisi cha Gigiri na Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai (DCI) Daniel Kandie.
                                             Daktari wa mbunge huyo Dk. Mwangi Muchiri 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni