.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 25 Machi 2015

OPERESHENI YA KUISAKA NDEGE YA GERMANWINGS ILIYOANGUKA YAANZA

Operesheni ya msako inatarajia kuanza kusini mwa mlima Alps nchini Ufaransa hii leo baada ya kuanguka kwa ndege ya shirika la Germanwings hapo jana na kuuwa watu 150.

Maafisa wametahadharisha kuwa zoezi hilo litadumu kwa siku kadhaa katika eneo la kando la bonde baina ya Digne na Barcelonnette.

Viongozi wa mataifa ya Ujerumani na Ufaransa wanatarajiwa kutembelea eneo ilipoanguka ndege hiyo.
                Helkopta ikiwa juu ya bonde hilo katia operesheni inayoendelea 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni