.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 25 Machi 2015

BOKO HARAM YAPORA WATOTO 500 NA KUTOWEKA NAO KATIKA MJI WA DAMASAK

Watoto wapatao 500 wenye umri wa kuanzia miaka 11 na chini ya hapo hawajulikani walipo katika mji wa Damasak nchini Nigeria uliokuwa umetwaliwa na wapiganaji wa Boko Haram.

Mfanyabiashara wa mji huo wa kaskazini mashariki mwa Nigeria ameliambia shirika la Reuters kuwa wapiganaji wa Boko Haram waliwachukua watoto hao na kukimbia nao.

Vikosi vya Niger pamoja na Chad vimeutwa mji wa Damasak mapema mwezi huu, na kumaliza miezi kadhaa ya kukaliwa na wapiganaji hao wa Boko Haram.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni