.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 25 Machi 2015

WANAFUNZI 300 WA CHUO KIKUU CHA STRATHMORE JIJINI NAIROBI WALA CHAKULA CHENYE SUMU

Wanafunzi 25 pamoja na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Strathmore nchini Kenya wamelazwa kwenye hospitali kadhaa Jijini Nairobi baada ya kula chakula kinachodhaniwa kuwa na sumu.

Wanafunzi hao ni sehemu ya wengine 300, wengi wao wakiwa ni wa mwaka wa mwisho waliokula chakula wakati wa sherehe ya wanafunzi wa mwaka wa mwisho siku ya Ijumaa.

Saa chache baada ya kula chakula hicho wanafunzi wapatao 80 walienda kwenye Zahanati ya Chuo hicho cha Strathmore kupatiwa matibabu huku wengine wakitibiwa kwenye hospitali kadhaa nyingine.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni