.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 23 Machi 2015

SENETA WA CHAMA CHA REPUBLICAN TED CRUZ ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS MAREKANI

Seneta wa chama cha Republican Ted Cruz amethibitisha kuwa atagombea urais wa Marekani mwaka 2016, na kuwa mwanachama wa kwanza wa Republican kutangaza nia.

Cruz mwenye umri wa miaka 44 kutoka Texas anatarajiwa kutangaza mipango yake katika hotuba yake atakayotoa leo katika Chuo Kikuu cha Liberty huko Virginia.

Katika video iliyotumwa kwenye twitta Cruz amesikika akisema ni wakati wa kizazi kipya chenye ujasiri wa kuifanya Marekani kuwa imara tena.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni