.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 23 Machi 2015

KANGAROO APONZWA NA KIU CHA MAJI NA KUJIKUTA AKINASA KICHWA

Kiu cha maji kimemponza Kangaroo mmoja huko Coffin Bay kusini mwa Australia, baada ya kutumbukiza kichwa kwenye chombo cha kunyunyuzia maji bustani na kushindwa kukitoa.
                          Watu wakiwa katika zoezi la kujaribu kumnasua Kangaroo
Haikuwa kazi rahisi lakini baada ya jitihada za muda waliweza kumnasua Kangaroo huyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni