.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 24 Machi 2015

WATU 36 WAFARIKI DUNIA NCHINI PERU BAADA YA MAGARI KUGONGANA

Watu 36 wamefariki dunia na wengine wapatao 70 kujeruhiwa kufuatia msururu wa magari kugongana nchini Peru baada ya basi moja kuteleza na kuingia katika njia ya upande wa pili.

Basi hilo la Murga Serrano line, lilijikuta likigongwa na magari matatu madogo yaliyokuwa yakitoka upande wa pili, na kisha kugongwa pia na mabasi mengine mawili na lori moja.

Basi hilo lilikuwa limebeba ujumbe wa waumini wa taasisi ya kikristo ya Wamishonari wa shirika la Worldwide Missionary Movement.
                                 Muonekano kwa mbele wa basi hilo baada ya kupata ajali 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni