.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Machi 2015

WAANDAMANAJI WAREJEA MITAANI KATIKA JIMBO LA FERGUSON


Makumi ya waandamanaji wamerejea tena mitaani katika jimbo la Ferguson, Missouri nchini Marekani siku moja tu baada ya polisi wawili wajeruhiwe na waandamanaji.

Mamlaka za jimbo hilo zimeendelea na msako mapema leo, wakati polisi wawili waliojeruhiwa kwa kupigwa risasi wakiruhusiwa kutoka hospitali.

Maandamano ya jana yaliyokuwa yakipinga vitendo vya ubaguzi wa rangi vinavyofanywa na jeshi la polisi, yalianza kwa amani, lakini baadae yaligeuka kuwa ya mapambano na polisi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni