.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Machi 2015

MAFURIKO YAUWA WATU 65 NCHINI ANGOLA WAKIWEMO WTOTO 35

Mafuriko yanayotokana na mvua za masika yameuwa watu 65, wakiwemo watoto 35 katika Jiji la Lobito nchini Angola.

Shirika la habari la taifa la nchi hiyo Angop limesema kina cha maji ya mafuriko kilifikia urefu wa mita 3 katika baadhi ya maeneo ya mji huo siku ya jumatano.

Nyumba nyingi zimeharibika, na timu ya uaokoaji bado inaendelea kuwatafuta waathirika zaidi wa mafuriko.

Rais wa Angola Jose Eduardo Santos ameziagiza serikali za mitaa kutoa misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko hayo. Eneo kubwa la Angola linakabiliwa na mvua kubwa tangu mwezi Januari.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni