.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Machi 2015

WIZARA YA ULINZI YA KOREA KUSINI YASEMA KOREA KASKAZINI IMERUSHA MAKOMBORA

Wizara ya Ulinzi ya Korea Kusini imesema Korea Kaskazini imefyatua makombora saba ya kufyatuliwa kutoka aridhini yaliyolenga kwenye bahari.

Tukio hilo limefanywa katika siku ya mwisho ya zoezi la kijeshi la kila mwaka linaloendeshwa kwa ushirikiano wa Marekani na Korea Kusini.

Msemaji wa Korea Kusini amesema kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un alikuwepo wakati wa urushwaji wa makombora hayo hapo jana kwenye pwani ya mashariki.

Zoezi hilo la kijeshi ambalo serikali ya Pyongnyang huliita maandalizi ya uvamizi, daima limekuwa likichochea uhasana baina ya mataifa hayo mawili ya Korea.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni