.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Machi 2015

IS YARIDHIA KUUNDA USHIRIKIANO NA KUNDI LA BOKO HARAM LA NIGERIA

Kundi la Dola ya Kiislam (IS) limekubali wito wa kundi laNigeria la Boko Haram kutaka uhusiano na kukubali kuwatii IS.

Katika sauti iliyorekodiwa msemaji wa IS amenukuliwa akisema kuwa lengo la kutanua utawala wa dola ya Kiislam limeongezeka na kufika Afrika ya Magharibi.

Wiki iliyopita Boko Haram walituma kwa njia ya mtandao ujumbe unaotaka kuwepo ushirikianoa na kundi la IS.

Boko Haram walianza harakati za kutaka kushinikiza uwepo wa utawala wa Kiislana kaskazini mwa Nigeria tangu mwaka 2009.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni