.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Agosti 2015

ALIYEKUWA RAIS WA MAREKANI JIMMY CARTER AMESEMA ANAUGUA SARATANI

Aliyekuwa rais wa Marekani, Jimmy Carter amesema upasuaji wa ini aliofanyiwa hivi karibuni umebaini kuwa anaugua saratani na imesambaa kwenye sehemu nyingine za mwili wake.

Carter mwenye umri wa miaka 90, alifanyiwa upasuaji wa kuondolewa viuvimbe vidogo kwenye ini lake mapema mwezi huu.

Rais huyo wa zamani wa Marekani aliyeondoka madarakani mnamo mwaka 1981, amesema kuwa atabainisha zaidi matatizo yanayomkabili baada ya kupata uhakika ifikapo wiki ijayo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni