.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Agosti 2015

WALIOKUFA MLIPUKO WA CHINA WAFIKIA WATU 50, MAJERUHI 700

Mlipuko mkubwa uliotokea katika mji wa Tianjin kaskazini mwa China umeuwa watu 50 huku wengine wapatao 700 wakijeruhiwa.

Chombo cha habari cha serikali kimesema mlipuko huo umetokea kwenye ghala lililokuwa limehifadhia kemikali hatari katika bandari ya mji huo, ambapo miongoni waliokufa wapo askari 12 wa zima moto wengini 36 hawajulikani walipo.

Picha na video kwenye mitandao ya jamii zimnaonyesha moto mkubwa ukitanga angani, na kunamajengo yameripotiwa kuanguka. Taarifa zinaeleza hospitali zimezidiwa na majeruhi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni