.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Agosti 2015

MLIPUKO WA KEMIKALI NCHINI CHINA WAUWA WATU 17 NA KUJERUHI MAMIA

Mlipuko mkubwa umetokea katika mji wa Tianjin kaskazini mwa China na kuua watu 17 huku mamia ya watu wakijeruhiwa.

Chombo cha habari cha serikali kimesema mlipuko huo umetokea kwenye ghala lililokuwa limehifadhia kemikali hatari, katika bandari ya mji huo.

Picha na video kwenye mitandao ya jamii zimnaonyesha moto mkubwa ukitanga angani, na kunamajengo yameripotiwa kuanguka. Taarifa zinaeleza hospitali zimezidiwa na majeruhi.
                                           Magari yakiwa yameungua kufuatia mlipuko huo
                  Mtu akiwa amesimama kuangalia uharibifu uliofanywa na mlipuko huo
 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni