Mwili wa Marehemu utawasili leo, uwanja wa ndege wa J.K. Nyerere. Mazishi yatafanyika Ijumaa tarehe 14/08/2015. Msiba uko nyumbani kwa marehemu Tegeta Ununio, Mtaa wa Mwaitende.
Maziko yanatarajia kufanyika katika makaburi ya KINONDONI.
Taarifa na taratibu za msiba zitafuata.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni