.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Agosti 2015

KIKOSI CHA WANAMAJI NCHINI ITALIA CHAOKOA WAHAMIAJI 52 MAJINI

Kikosi cha wanamaji cha Italia kimesema kimewaokoa wahamiaji 52 kutoka katika boti ya kujaza upepo liyokuwa ikizama katika bahari ya Mediterranean huku wengine 50 hawajulikani walipo.

Meli ya kivita imefanikiwa kuwaopoa nusu ya wahamiaji waliokuwemo kwenye boti hiyo, huku watu wengine wawili wakiokolewa baada ya kuonekana wakining'inia kwenye pipa.

Wakati huo huo wahamiaji haramu wameendelea kuwasili kwenye kisiwa cha Ugiriki cha Kos, ambako kumekuwa na hofu kutokana na ongezeko hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni