.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Agosti 2015

WATU 26 WAHOFIWA KUFA NCHINI CHINA KATIKA MAPOROMOKO YA ARDHI

Watu wapatao 26 hawajulikani walipo baada ya maporomoko ya ardhi nchini China kaskazini mashariki mwa mkoa wa Shaanxi.

Tope lenye ujazo wa mita mraba milioni moja limefunika mabweni na nyumba za Kiwanda cha uchimbaji madini cha Wuzhou katika kaunti ya Shanyang hii leo.

Maafisa wamesema watu 14 wameokolewa katoa zoezi ambalo limekuwa likikwamishwa na mvua kubwa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni