.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 12 Agosti 2015

WATU WAPATAO 47 WAUWAWA KATIKA MLIPUKO NCHINI NIGERIA

Mlipuko katika soko lenye watu wengi kaskazini-mashariki mwa Borno nchini Nigeria umeuwa watu wapatao 47.

Watu zaidi ya 52 wanaaminika kuwa wamejeruhiwa, chanzo kutoka jeshi la Nigeria kimelieleza shirika la habari la Reuters.

Mlipuko huo umetokea katika soko la wanyama katika mji wa Sabon Gari kusini mwa Borno, majira ya saa saba na nusu. Wapiganaji wa kundi la Boko Haram wameua mamia ya watu katika jimbo hilo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni